![Baharia TV](/img/default-banner.jpg)
- 4 869
- 12 540 921
Baharia TV
Tanzania
Приєднався 23 лис 2021
KANUNI NA MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Mawasiliano:
0620400226
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Mawasiliano:
0620400226
Відео
"MSIGWA ALITUMIKIA MABWANA WAWILI KWA WAKATI MMOJA" SILVATORY AMCHAKAZA VIBAYA MNO MCHUNGAJI MSIGWA
Переглядів 310 хвилин тому
🔴# LIVE: CHAMA AMWAGA WINO YANGA SC //YANGA YATANGAZA WIKI YA MWANANCHI NI 04 AGOSTI 2024
Переглядів 7384 години тому
"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA
Переглядів 6 тис.14 годин тому
BREAKING: CHAMA ATIMKIA YANGA //YANGA YAMTANGAZA RASMI //SIMBA WAENDELEA NA VIKAO JUU YAKE
Переглядів 267День тому
WATOTO WALIOFARIKI KWA AJALI IRINGA WAZIKWA //MASHUHUDA WATETA JAMBO
Переглядів 119День тому
"CHOMENI NYUMBA ZANGU NA MAGAR YANGU NIKIHAMIA CCM" MANENO YA MWISHO YA MCHUNGAJI KUHUSU KUHAMIA CCM
Переглядів 4,8 тис.День тому
"SERIKALI YA CCM IMECHOKA" MBOWE AMECHARUKA HUKO /)AANZA NA PATI LA TAIFA
Переглядів 664День тому
MPINA Bila woga AMSEMA TENA SPIKA TULIA "AMEKUWA AKINIONEA MARA KWA MARA BUNGENI"
Переглядів 176День тому
"MSIGWA NI MSALITI WA CHADEMA" MARTIN MASESE ATEMA CHECHE Balaa!!! //ALISALITI CHADEMA MUDA SANA
Переглядів 2,9 тис.День тому
"AMEKIMBIA UHARIFU WA CHADEMA" WAKILI MWABUKUSI AMKINGIA KIFUA MCHUNGAJI MSIGWA /ATAJA MAOVU CHADEMA
Переглядів 7 тис.День тому
Akina Yuda Eskarioti wako wengi. ( Tena huyo anajiita Mchungaji ) Tangu lini Mchungaji akatumikia mabwana wawili ! Ni msaliti tu, tena yule mbaya kuliko ilivyo tegemewa.
UKIGOMBEA URAISI KURA YANGU UNAYO, I SWEAR GOD
Yaani kazingua sana aiseh
Rubbish
Mpina awe mgombea uraisi ukawa
Sababu ya kuhama ni dhaifu sana, Sikutegemea kama atahama kwa sababu hiyo.Sasa ccm anakokimbilia ni hakuna rushwa?
Wamjadili ki2gan yaan ukwel ujadiliwe, kunawakati 2najiuliza mbona mungu alimchukua mapema anko.
Msigwa ananjaa.. amefuata kula
Asante
Una Akili sana
Kumbe mchungaji yupo sawa kakimbia wanaotaka kumdhuru safi yeye mtumishi anajuwa siri
Nakupongeza wakili
Wakili simamia ukweli kuwa mkweli tunakuelewa sana huna uongo kwenye jambo
Mwambukusi ukiwa shuleni ni mmoja ya mwanafunzi uliopata walimu bora kabisa. Wengine tumepita shule zenye walimu wa kukaririshwa mambo.
Wakili ww uko vizury sana unapenda kusema ukweli
Ni haki yake kabisa kikatiba, lakini kwenda ccm kweli?
THIS MAN NEVER DISAPPOINT
KAMA MWANAMKE NA MWANAUME FIFTY FIFTY KUNATOFAUTI GANI KATI YA MLINZI MWANAMKE NA MKINZI MWANAMME
Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina
Ni. Haki. Ake
Ukweli kabisa Kila Moja anahaki kwenda ata kapo
Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua
Msukima alisema haya ya msigwa alikuwa anapewa pesa na miccm je msukuma alidanganya Leo kipo wapi msigwa alikuwa mvurugaji mungu kamumbuwa Toka nenda zako ukaungane na mashetani wewe ni shetani mkubwa
Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo
Anataja madaraka hana lolote shenzi sana
Maneno yake inapoza mwenyewe jaaa na unafiki Hama tu
Nimekukubali mwambukusi big up
Aaa kwa kauli hii hata wewe Huna muda
Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo ! ongera Mheshimiwa wakili. Aksante sana kwa maelezo yako. MwenyeziMungu akubariki. Aamiin.
Ajiulize NYALANDU ako wapi. Ndio atajua CCM ni wanunuzi tu unabakia boya.
Uko vizuri kk
Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2
Msigwa aachwe tu kwani kuna nini
Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli
Msigwa huna lolote
Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee
So ulisema ukihamia CCM uchomewe nyumba na magari duuu na utachomewa tuu hata kama kwa nguvu
Vema SANA MWABUKUSI UPO VIZURI HAPO HAITAKIWE KUWE NA VITA AU FITINA HIYO NDIO DEMOCRASIA
Jamani eeh kujiunga na Chama Cha siasa ni sawa na kuhama Klabu za mpira Msigwa si msaliti
Msigwa ana haki kikatiba kuhamia chama chochote ila maneno yake yanadhihirisha ni mhalifu wa kisiasa.
Mbona Lowasa Sumaye walikwenda Chadema muache akale ridhiki mantashalla Siasa mchezo mchafu
Huo ndio ukweli kuhama sio uwadui nimamzi
Mwabukusi uko visuri Sana kaka angu
Msigwa
Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu
Mzee wangu busara Yako nikubwa sana
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"! Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk. Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
Makonda tena
SAWA WAKILI MSOMI ASANTE ILA LA KUKAA MADARAKAN NA UENYEKITI KWA MIAKA 30 HUJASEMA UMELIPITA
Hayupo kwenye Hilo mipaka iheshimiwe
✌️🙏🙏🙏🙏
Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm
😂😂😂😂